Mezani na KIBACHA Part II
Failed to add items
Sorry, we are unable to add the item because your shopping cart is already at capacity.
Add to basket failed.
Please try again later
Add to wishlist failed.
Please try again later
Remove from wishlist failed.
Please try again later
Adding to library failed
Please try again
Follow podcast failed
Unfollow podcast failed
-
Narrated by:
-
By:
Sehemu ya pili ya maongezi yetu na KBC, ambaye wengi wanamfahamu kama Kibacha
Huyu ni mojawapo wa mwamba muhimu wa Hip Hop ya Tanzania.
Unaambiwa zama zake, Kipaza kilimuogopa kama ukoma, Rafiki wa mashairi na mchenguaji mashuhuri. Gwiji wa mtindo huru na Battle Emcee haswaaa.
Kibacha ni miongoni mwa waanzilishi wa Kundi kongwe na mahiri la KWANZA UNIT.
Ametupa heshima kubwa ya kukaa nasi na kutupa historia ya muziki wake tangu miaka ya 80 mpaka hapa tulipo.
Mwamba huyu hapa 😊
#MezaniNaKBC
#MezaHuru
adbl_web_anon_alc_button_suppression_t1
No reviews yet